TAFUTA
KUHUSU SISI
Karibu Mwafika Asili - Blog ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
Habari Maarufu
-
Kama kompyuta inachukua muda mrefu kuwa ni kutokana na sababu hizi zifuatazo: 1. Huenda imevamiwa na virusi ambavyo vinasababisha compyut...
Blog mbali mbali
HAKI MILIKI
© 2013 mwafikasil.blogsport.com
MAWASILIANO
mwafrikasili@gmail.com
Powered by Blogger.
Sunday, March 31, 2013
Unatatizo la kusahau namba zako za siri?
5:46 AM
| Imetumwa na
MWAFRIKASILI
|
Kama unatatizo la kusahau namba zako za siri iwe za bank, email n.k programu hii ya KeePass Password Safe Shusha hapa ni bure kabisa. Jinsi ya kuisimika
1. Bofya mara mbili KeePass kisha bofya next
2.Chagua Accept the agreement bofya next
3.Weka alama ya vema kwenye Associate KeePass,Creat a desktop icon kisha bofya next
4.
Bofya Install na malizia kwa kuweka vema sehemu zote mbili na kisha bofya finish
5 Chagua Enable or Disable automatic update check
6.Bofya File na chagua New
7. Weka namba yako ya siri
8. Bofya Add New Entry(inakifunguo na alama ya kijani)

9. Weka title mfano namba ya siri ya benki
10. kwenye user name weka akaunti yako
11. Password weka namba yako ya siri
12.Bofya Ok
1. Bofya mara mbili KeePass kisha bofya next
2.Chagua Accept the agreement bofya next
3.Weka alama ya vema kwenye Associate KeePass,Creat a desktop icon kisha bofya next
4.
Bofya Install na malizia kwa kuweka vema sehemu zote mbili na kisha bofya finish
5 Chagua Enable or Disable automatic update check
6.Bofya File na chagua New
7. Weka namba yako ya siri
8. Bofya Add New Entry(inakifunguo na alama ya kijani)

9. Weka title mfano namba ya siri ya benki
10. kwenye user name weka akaunti yako
11. Password weka namba yako ya siri
12.Bofya Ok
Mpaka hapo zoezi limekamilika bofya save
Created with Artisteer

0 Maoni:
Post a Comment