TAFUTA
KUHUSU SISI
Karibu Mwafika Asili - Blog ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
Habari Maarufu
-
Kama kompyuta inachukua muda mrefu kuwa ni kutokana na sababu hizi zifuatazo: 1. Huenda imevamiwa na virusi ambavyo vinasababisha compyut...
Blog mbali mbali
HAKI MILIKI
© 2013 mwafikasil.blogsport.com
MAWASILIANO
mwafrikasili@gmail.com
Powered by Blogger.
Sunday, March 31, 2013
Kompyuta yako kuchelewa kuwaka
5:46 AM
| Imetumwa na
MWAFRIKASILI
|
Kama kompyuta inachukua muda mrefu kuwa ni kutokana na sababu hizi zifuatazo:
1. Huenda imevamiwa na virusi ambavyo vinasababisha compyuta yako kuchelewa kuwaka.
2.
Kuna plogramu ya kompyuta ambazo huanza pamoja na window inavyooanza hivyo husababisha kompyuta yako kuwa nzito wakati wa kuwaka, kwasababu inafungua vitu vingi kwa wakati mmoja
Jinsi ya kuondoa programu sisizo na muhimu ambazo zinafunguka pamoja na window


1. Huenda imevamiwa na virusi ambavyo vinasababisha compyuta yako kuchelewa kuwaka.
2.
Kuna plogramu ya kompyuta ambazo huanza pamoja na window inavyooanza hivyo husababisha kompyuta yako kuwa nzito wakati wa kuwaka, kwasababu inafungua vitu vingi kwa wakati mmoja
Jinsi ya kuondoa programu sisizo na muhimu ambazo zinafunguka pamoja na window
- Bofya window na herufu R ( window +R) kwenya kibodi yako. Au kama unatumia window 7 , Bofya Start mwanzo kabisa utaona kibox ambacho ndani yake kimeandikwa" Search program and File" , andika neno hili run angalia mfano hapo chini

- Ukiisha fungua RUN andika "msconfig" bofya ok

- Chagua Startup ondoa alama ya vema kwenye programu unaona hazina umuhimu kufunguka wakati kompyuta yako inawaka. Angalizo uwemakini na uondoaji wako wa vema kwasabubu kuna baadhi ya progromu hususani za window zinahusika wakati wa kuwaka. Angalia mfano huo hapo chini
Created with Artisteer
0 Maoni:
Post a Comment