TAFUTA
KUHUSU SISI
Karibu Mwafika Asili - Blog ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
Habari Maarufu
-
Kama kompyuta inachukua muda mrefu kuwa ni kutokana na sababu hizi zifuatazo: 1. Huenda imevamiwa na virusi ambavyo vinasababisha compyut...
Blog mbali mbali
HAKI MILIKI
© 2013 mwafikasil.blogsport.com
MAWASILIANO
mwafrikasili@gmail.com
Powered by Blogger.
Thursday, May 9, 2013
JINSI YA KUZUIA MATANGAZO KWENYE MOZILLA FIREFOX
9:28 AM
| Imetumwa na
MWAFRIKASILI
|
Watumiaji wengi wa mtandao wamekuwa wahanga wa matangazo mbalimbali(mengine yasiyofaa kwa maadili ),Hii yote inatokana na watu kubofya bofya vitu wasivyo vijua kwenye mtandao(wakiwa online au wakiperuzi)na kujikuta wameruhusu matangazo hayo. Jinsi ya kuzuia ufuatiliaji katika mtandao kuna Mozilla Firefox Add-ons inaitwa DoNotTrackMe: Bofya Hapa
Malizia kwa kubofya Add to Firefox kisha funga Mozilla Firefox na uianzishe upya.