TAFUTA

KUHUSU SISI

Karibu Mwafika Asili - Blog ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano

Habari Maarufu

Blog mbali mbali

JIUNGE NASI

Jisajilikwenye blog hii
Twitter
Facebook

HAKI MILIKI

© 2013 mwafikasil.blogsport.com

MAWASILIANO

mwafrikasili@gmail.com

Powered by Blogger.
Sunday, March 31, 2013

Kufunga USB port kwenye Kompyuta yako

       Watu wengi wamekuwa wakiibiwa nyaraka zao au majalada yao muhimu bila wao kujua. Kwamfano mtu amekuomba atumie kompyuta yako iwe ya mpakato(laptop) au ya kawaida(desktop au tower) akikuamua kukuibia nyaraka yoyote kupitia flashi yake hauwezi kujua.  Zifuatazo ni hatua za kufunga usb port ambazo zitakusaidia kuzuia  jalada au kitu chochote kuingizwa kwenye flash(write potect all usb divices)

  1. Fungua masijala ya Window kwa kubofya window + r au kama unatumia window 7 bofya start harafu kwenye kisanduku kilichoandikwa (search programs and file) na andika regedit kisha bofya Ok.      
  2. Bofya   HKEY_LOCAL_MACHINE\SYSTEM\CurrentControlSet\Control\StorageDevicePolicie   

 Sasa Bofya WriteProtect na badilisha 0 ya mwisho weka namba 1 kama mfano wa picha niliyokuwekea hapo juu.

Zoezi limekamilika sasa funga na jaribu kuweka au kufuta kitu chochote kwenye flashi yako utaona ujumbe huu

 “ The disk is write- proctected”. 


Created with Artisteer

0 Maoni:

Post a Comment